Breaking News

Mheshimiwa Lowassa Awasili Jijini Arusha Kuongoza Harambee ya Ujenzi wa Msikiti wa Patandi


Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasili jijini Arusha kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti wa Patandi.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akilakiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu jijini Arusha alipowasili kwa ajili ya kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti wa Patandi.

No comments