Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda Aibiwa Simu
Reviewed by jungukuuleo
on
4:24:00 AM
Rating: 5
No comments