Prof. Lipumba Adai Yeye Bado ni Mwenyekiti wa CUF Baada ya Kutengua Maamuzi ya Kujiuzulu

Amesema kuwa Katibu Mkuu asipotaja tarehe ya yeye kurejea kazini kama Mwenyekiti, atasubiri barua ya Msajili wa Vyama ili aanze kazi tena kama Mwenyekiti wa Taifa wa CUF.
No comments