Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema kuwa uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita unaojengwa wilayani Chato utakapokamilika utatumika kusafirisha madini, watu na vifaa.
==>Msikilize hapo chini akitoa majibu bungeni
Serikali Yatoa Majibu Bungeni Kuhusu Kujenga Uwanja wa Ndege Chato
Reviewed by jungukuuleo
on
9:32:00 PM
Rating: 5
No comments