Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma vifaranga 6,400 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege lakini pia mmiliki hakuwa na vibali na vifaranga havikukaguliwa.
==>Msikilize hapo chini
VIDEO: Waziri Mpina Akiongelea kuhusu uchomaji wa vifaranga kutoka Kenya
Reviewed by jungukuuleo
on
9:00:00 PM
Rating: 5
No comments